Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Israel yashambulia uongozi wa Hamas Doha, Qatar. Katika Dira ya Dunia TV

  • 13
Scroll Down To Discover

Israel imetekeleza shambulizi katika mji mkuu wa Qatar, Doha, ikilenga viongozi wakuu wa Hamas. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema shambulio hilo lilikuwa la kujibu uvamizi wa Oktoba 7 mwaka 2023 wa kundi la Hamas. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post USUSI WATAJWA KAMA FURSA YA AJIRA KWA VIJANA
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook