Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Msukuma Awavunja Mbavu Wabunge “Mniombee Nirudi Tena Bungeni!” – Video

  • 60
Scroll Down To Discover

NBUNGE wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma, awavunja mbavu wabunge baada ya kuomba wamuombee ili arudi tena bungeni.

Mheshimiwa Spika, naomba niwatake waheshimiwa wabunge wote… Mniombee niweze kurudi tena Bungeni mwaka 2025. Sitaki kupotea hivi hivi!”

Kauli hiyo iliwafanya wabunge wote kulipuka kwa vicheko, huku baadhi wakipiga makofi na wengine wakisema kwa sauti:

“Amina!”
“Tutakuombea!”

Msukuma aliendelea na utani wake kwa kusema:

“Nimejitahidi sana, nimechangia, nimejitokeza… lakini mwisho wa yote kura ni za wananchi!”

Ucheshi huu ulibadilisha hali ya ukumbi kwa muda na kuonyesha upande wa kibinadamu na wa kipekee wa baadhi ya wanasiasa. Sauti yake ilieleweka kuwa ya mtu anayependa demokrasia lakini pia anaelewa changamoto za siasa.



Prev Post Rais Samia Aelekea Dodoma Kuhitimisha Bunge la 12 Kesho – Picha
Next Post Majaliwa Atangaza Kugombea Tena Ubunge Ruangwa 2025, Atoa Hotuba Ya Mwisho Bungeni – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook