Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Majaliwa Atangaza Kugombea Tena Ubunge Ruangwa 2025, Atoa Hotuba Ya Mwisho Bungeni – Video

  • 61
Scroll Down To Discover

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Ruangwa mkoani Lindi, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Ruangwa mkoani Lindi, Kassim Majaliwa Majaliwa, amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ruangwa kwa kuendelea kumuunga mkono na kumpa ushirikiano katika kutekeleza majukumu yake. Ameeleza kuwa atarejea tena kuwania ubunge katika jimbo hilo.

Majaliwa ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi, Juni 26, 2025, bungeni jijini Dodoma, wakati akiwasilisha hotuba ya kuhitimisha Mkutano wa 19 wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pia, amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake na maelekezo yenye tija ambayo yameirahisisha kazi yake.



Prev Post Msukuma Awavunja Mbavu Wabunge “Mniombee Nirudi Tena Bungeni!” – Video
Next Post Serikali Yawarejesha Watanzania 42 Kutoka Nchini Iran Na Israel
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook