Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Aelekea Dodoma Kuhitimisha Bunge la 12 Kesho – Picha

  • 54
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma tarehe 26 Juni, 2025. Pamoja na mambo mengine kesho Mhe. Rais Dkt. Samia atahutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza safari kutoka Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma leo, tarehe 26 Juni 2025. Kesho Rais Dkt. Samia atahutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.



Prev Post Tanzania Kuandaa Mkutano wa Kimataifa wa Mabaraza ya Habari Afrika – Video
Next Post Msukuma Awavunja Mbavu Wabunge “Mniombee Nirudi Tena Bungeni!” – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook