

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameungana na Mawaziri, Makatibu Wakuu pamoja na viongozi wengine wa Serikali walivyowasili Ikulu, Jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kushiriki Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika leo Juni 22, 2025.
Kikao hicho ni sehemu ya utaratibu wa kawaida wa Serikali wa kujadili masuala muhimu ya kitaifa, kupanga mikakati ya maendeleo na kutathmini utekelezaji wa sera mbalimbali kwa manufaa ya wananchi wote wa Tanzania Bara na Zanzibar.


Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!