Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Ziara ya Rais Samia Yamalizika kwa Mafanikio Makubwa Simiyu – (Picha +Video)

  • 7
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia akizungumza na wananchi wa Nyashimo wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
Rais Samia akipokea Tuzo ya shukrani kutoka kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso mara baada ya kuweka jiwe la msingi mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuwahutubia wananchi wa Nyashimo, Busega.
Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.

Rais Samia akizungumza na wananchi wa Nyashimo wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi Busega mkoani Simiyu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kuashiria ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
Rais Samia akifungua mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
Rais Samia akiweka jiwe la msingi la Mradi wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi Mkoani Simiyu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi wa Wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu, leo tarehe 19 Juni, 2015



Prev Post Majaliwa: Rais Dkt. Samia Amedhamiria Kuiendeleza Sekta Ya Madini
Next Post Eng. Himba Atuhumu Kamati ya Uchaguzi TFF kwa Upendeleo na Ukosefu wa Uwazi
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook