Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Apokea Gawio Na Michango Kutoka Kwa Taasisi Na Mashirika Ya Umma (Picha +Video)

  • 44
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali kwenye hafla ya kupokea Gawio la Serikali iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Juni, 2025.
Rais Samia Suluhu Hassan akitoa Tuzo kwa Mashirika ya umma na Taasisi mbalimbali.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki hafla ya kupokea Gawio na michango kutoka kwa Tasisi na Mashirika ya Umma Ikulu Dar es salaam, leo tarehe 10 Juni, 2025.



Prev Post Rais Samia Apokea Gawio Na Michango Kutoka Kwa Taasisi Na Mashirika Ya Umma (Picha +Video)
Next Post Rais Samia Apokea Gawio Na Michango Kutoka Kwa Taasisi Na Mashirika Ya Umma (Picha +Video)
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook