
Kijana mmoja mkazi wa Kijiji cha Halla, wilayani Babati, mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali, tukio ambalo limezua masikitiko makubwa miongoni mwa familia na uongozi wa eneo hilo.
Kijana huyo, aliyefahamika kwa jina la Fransis Peter, mwenye umri wa miaka 34, anaripotiwa kuwa alikuwa na matatizo ya afya ya akili kabla ya kuchukua uamuzi huo.
Video full ipo YouTube ya Global TV
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!