Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Chadema Yatoa Wito kwa Wananchi Kuhudhuria Kesi ya Uhaini ya Lissu

  • 42
Scroll Down To Discover

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimewaalika wananchi wote, mashirika ya kiraia, Jumuiya za Kimataifa na Kitaifa kuhudhuria na kufuatilia kwa karibu mwenendo wa kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu.

Kesi hiyo itasikilizwa katika Mahakama ya Kisutu Jijini Dar Es Salaam kesho Jumatatu Juni 02, 2025, kuanzia saa tatu asubuhi.

Wito wa kuhudhuria kesi hiyo umetolewa na John Wegese Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari, akisema kwamba huu ni wakati wa kuonesha mshikamano na kusimama kidete kwaajili ya kulinda misingi ya haki, uhuru na utawala wa sheria nchini.



Prev Post Mbeto: Maelekezo ya Mwenyekiti CCM ni Maagizo ya Utekelezaji kwa Chama
Next Post Wanafunzi DIT, UDSM na UDOM Wapata Tuzo za Juu Nchini China
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook