



Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, amesema marekebisho ya Katiba ya chama hicho yanayopendekezwa ni muhimu ili kukijenga upya CCM kwa kuzingatia mahitaji ya sasa na kuongeza ufanisi katika utendaji wa kazi zake.
Akizungumza katika Mkutano Maalum wa CCM unaoendelea jijini Dodoma, Rais Samia alisema mabadiliko hayo nipamoja na kuongeza mjumbe wa baraza la wadhamini kwa mujibu ya sheria ya vyama vya siasa nchini.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!