Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makonda Ahidi Kuchukua Hatua Kali kwa Viongozi Wazembe Arusha – Video

  • 19
Scroll Down To Discover

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesema atampiga ‘spana’ kila kiongozi anayezembea jijini Arusha mpaka kazi aliyotumwa ikamilike.

Makonda amesema hayo wakati akizungumza katika maadhimisho ya Miaka 61 ya Muungano yanayofanyika leo kimkoa katika uwanja wa Soko la Kilombero mkoani Arusha ambapo mgeni rasmi ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko.

Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.



Prev Post RC Halima Dendego Atoa Pongezi kwa Kuzingatia Usawa wa Kijinsia
Next Post Makamu wa Rais Dkt. Mpango Asema Njia Bora ya Kumuenzi Baba Mtakatifu Francisko ni Kudumisha Amani na Kujali Masikini
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook