Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Video: Rais Samia Azindua Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa Kikombo, Dodoma

  • 20
Scroll Down To Discover


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, tarehe 24 Februari 2026 amezindua rasmi Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa katika eneo la Kikombo, mkoani Dodoma.

Uzinduzi huo unaashiria hatua muhimu katika kuimarisha miundombinu ya ulinzi na usalama wa taifa, sambamba na kuendeleza azma ya Serikali ya kuhamishia shughuli zake kuu katika mji mkuu wa Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma tarehe 24 Februari, 2026.

The post Video: Rais Samia Azindua Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa Kikombo, Dodoma appeared first on Global Publishers.



Prev Post Waziri wa Ulinzi Afunguka Walivyomnasa El Mencho Kupitia Mwanamke – Video
Next Post Mahakama Kuu Yagomea Ushahidi Mpya Dhidi ya Tundu Lissu
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook