Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

CHADEMA Yalalamikia Kufungiwa Namba ya Michango ya Brenda Rupia

  • 22
Scroll Down To Discover

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama hicho, Brenda Rupia.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuwa namba ya simu ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama hicho, Brenda Rupia, iliyokuwa ikitumika kupokea michango kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa chama, imefungiwa na Kampuni ya Airtel Tanzania tangu Januari 19, 2026.

The post CHADEMA Yalalamikia Kufungiwa Namba ya Michango ya Brenda Rupia appeared first on Global Publishers.



Prev Post SIKU CHACHE BAADA YA KUSAJILIWA SIMBA….AHMED ALLY ‘ATUPA JIWE GIZANI’ KWA KIBABAGE…
Next Post Mkutano Wa Wazee Kuimarisha Haki Umoja Na Amani Kwa Watanzania Yatoka Na Maadhimio Haya
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook