Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Trump ashikilia azma yake ya kumiliki kisiwa cha Greenland. Katika Dira ya Dunia TV

  • 53
Scroll Down To Discover

Waziri Mkuu wa Denmark amesema Ulaya haitotishwa kwa kuongezewa ushuru na Donald Trump anayeendelea kutoa vitisho kuhusu kukichukua kwa nguvu kisiwa cha Greenland. Rais huyo wa Marekani ametilia mkazo msimamo wake wa kutaka kukinunua kisiwa hicho. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JANUARI 19, 2026
Next Post KIPA MPYA ATAMBULISHWA MSIMBAZI
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook