Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Makamu wa Rais Nchimbi Amtembelea Rais Mstaafu Amani Karume Zanzibar

  • 37
Scroll Down To Discover

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Amani Abeid Karume, katika makazi yake yaliyopo Unguja, Zanzibar leo, Januari 3, 2026.

Ziara hiyo imekuwa sehemu ya kuonesha mshikamano, heshima na kutambua mchango wa Rais Mstaafu Karume katika uongozi na maendeleo ya Taifa.

 

 

The post Makamu wa Rais Nchimbi Amtembelea Rais Mstaafu Amani Karume Zanzibar appeared first on Global Publishers.



Prev Post Waziri Sangu, Balozi UAE Wajadili Fursa za Ajira kwa Watanzania
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JANUARI 04, 2026
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook