Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Akutana na Viongozi wa TAMISEMI

  • 22
Scroll Down To Discover

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 03, 2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Januari 3, 2026.

 

Viongozi wengine walioshiriki kikao kazi hicho ni Katibu Mkuu (OWM-TAMISEMI), Adolf Ndunguru (OWM-TAMISEMI), Naibu Katibu Mkuu (OWM-TAMISEMI), Sospeter Mtwale pamoja na na Mkurugenzi wa Idara ya Tawala za Mikoa, Beatrice Kimoleta.

The post Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Akutana na Viongozi wa TAMISEMI appeared first on Global Publishers.



Prev Post Kwa nini serikali ya Uganda haiwataki raia kubeba bendera ya nchi? Katika Dira ya Dunia TV
Next Post Marekani Yafanya Shambulio Kijeshi Venezuela na Kumkamata Rais Maduro
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook