Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Tume ya uchunguzi yaundwa Tanzania. Katika Dira ya Dunia TV

  • 5
Scroll Down To Discover

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan,ameunda tume ya kuchunguza matukio ya ghasia za baada ya uchaguzi mkuu wa terehe 29 oktoba nchini humo. Mohamed Chande Athman aliyekuwa jaji mkuu mstaafu ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa kuiongoza tume hiyo. Hata hivyo tume hiyo imekosolewa na chama cha upinzani cha ACT wazalendo kwa kile wanachokitaja kuhusishwa kwa maafisa wa serikali wanaofaa kuchunguzwa. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 18, 2025
Next Post Trump: Marekani Itaiuzia Saudi Arabia Ndege za Kisasa za F-35
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook