Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Waziri Mkuu Mwigulu: Serikali Itatekeleza Miradi Inayogusa Maisha ya Wananchi -Video

  • 11
Scroll Down To Discover

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameahidi kusimamia kwa nguvu zote utekelezaji wa malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo, akisema anaufahamu vyema umasikini kwani ameishi kwenye hali hiyo kwa muda mrefu.

Dkt. Nchemba ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma, wakati akihutubia kwa mara ya kwanza baada ya kuthibitishwa na wabunge kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

Amesema serikali itahakikisha mipango yote ya maendeleo inatekelezwa kwa kuzingatia hali halisi ya wananchi, hususan wale wa kipato cha chini.



Prev Post Bunge la Marekani Laidhinisha Mpango wa Kumaliza Shutdown
Next Post Rais Samia Amteua Dkt. Mwigulu Nchemba Kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania – Video
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook