Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mazishi ya Mama wa Meja Kunta Yafanyika Yombo Dovya Dar – (Video+Picha)

  • 26
Scroll Down To Discover

MAZISHI ya mama wa msanii maarufu wa muziki wa Singeli nchini, Meja Kunta, yamefanyika leo, Aprili 14, 2025 katika Makaburi ya Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.

Wasanii mbalimbali wamejumuika kwenye shughuli ya kwenda kumpumzisha kwenye nyumba yake ya milele, mama wa msanii wa Muziki wa Singeli, Meja Kunta.

 



Prev Post DRC yalaani mauaji ya raia 52 yaliyofanywa na M23
Next Post Kassim Majaliwa: Tutaendelea Kudhibiti Uhalifu Wa Kifedha
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook