Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Alivyowasili Angola kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 – Picha

  • 25
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan aliwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro Luanda kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 nchini Angola Aprili 7, 2025.

Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Angola João Manuel Gonçalves Lourenço na lengo la Ziara hiyo ni kukuza na kuimarisha zaidi mahusiano ya kihistoria na kidugu baina ya Tanzania na Angola.

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro Luanda kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 nchini Angola tarehe 07 Aprili, 2025.



Prev Post Iran na Marekani Kukutana Oman kwa Mazungumzo ya Kihistoria ya Nyuklia
Next Post Waziri wa Mawasiliano Afrika Kusini ashutumiwa kwa kujaribu kubadilisha sheria ya umiliki kwa kampuni ya Elon Musk
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook