Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mapya kuhusu Chief Godlove maswali mitandaoni

  • 18
Scroll Down To Discover

hapa anaadika kigogo 200014

Kwa wasiomjua @chief_godlove , File langu likikamilika zaidi nitaeleza hapa. Sasa ipo hivi kulingana na tafiti zangu mpaka sasa.
👉 Kwanza kabisa wanaosali kwa kanisa la huyu jamaa wengi wao ni wamama na wazee walio vizuri kiuchumi. Vijana ni wachache sana
👉 Ibada zote huwa zinafanyika tarehe 20 tu kila mwezi 🤔
👉 Wakati wa ibada wanavaa mavazi meupe na meusi tuu 🤔

Hii dini inaleta Question mark, kwa nn kuwe na masharti ya namna hii?



Prev Post RECAP: Roma na Madee wamsaidie Jose Mtambo
Next Post Lamata Fc walimzomea Alikiba
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook