Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Je, ni Mpina au Kalikawe atapambana na Rais Samia nchini Tanzania? Katika Dira ya Dunia TV

  • 51
Scroll Down To Discover

Nchini Tanzania, chama cha upinzani cha ACT - Wazalendo kiko katika mchakato wa kumchagua atakayemenyana na Rais Samia Suluhu kuwania Urais katika uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu. Mafahali wanaowania tiketi hii ni wawili Luhaga Mpina na Aaaron Kalikawe. Kwa sasa kura zinaendelea kupigwa huku mshindi akitarajiwa kutangazwa baadaye usiku huu. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post NAFASI Za Kazi EACOP – Bomba la Mafuta Ghafi
Next Post Nafasi ya Kuwa Bingwa Ipo Meridianbet Leo
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook