Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumapili tarehe 22 June 2025

  • 28
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumapili tarehe 22 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumapili tarehe 22 June 2025

MAGAZETI ya Leo Jumapili tarehe 22 June 2025

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imetwaa ubingwa wa mashindano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kenya.

Bao pekee la ushindi la Twiga Stars lilikuwa la kujifunga la Enez Mango wa Kenya katika dakika ya 49 aliyekuwa katika harakati za kuokoa hatari langoni mwake.

Ushindi huo umeifanya Twiga Stars ifikishe pointi 12 katika mechi nne ilizocheza na hivyo kujihakikishia taji huku Kenya ikimaliza katika nafasi ya pili na Uganda ipo nafasi ya tatu.



Prev Post Harmonize Aibua Gumzo na Kionjo cha ‘Best Couple’
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook