
MAGAZETI ya Leo Ijumaa tarehe 20 June 2025
MAGAZETI ya Leo Ijumaa tarehe 20 June 2025
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeutangaza uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Jijini Dar es Salaam kuwa mwenyeji wa mchezo wa ufunguzi wa Fainali za Mataifa Bingwa Afrika (CHAN2024) zitakazofanyika Kenya, Tanzania na Uganda kuanzia Agosti 2, 2025.
Uwanja huo utatumika kwa michezo ya Kundi B lenye timu za Tanzania, Madagascar, Mauritania, Burkina Faso
Pia Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ni miongoni mwa viwanja vitakavyotumika kwenye Fainali hizo, ambapo utatumika kwa timu za Kundi D lenye timu za Senegal, Congo, Sudan na Nigeria.
Aidha Mechi ya Fainali itachezwa Jijini Nairobi nchini Kenya siku ya Jumamosi ya tarehe 30 Agosti, huku Mechi ya Mshindi wa tatu itachezwa Jijini Kampala nchini Uganda.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!