
Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Tuzo Maalum kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Viwanja vya Bunge Dodoma, leo tarehe 31 Mei, 2025.
Tuzo hiyo inatolewa kwa kutambua mchango wa Mheshimiwa Rais katika kulitumikia Taifa na kuwaletea Wananchi Maendeleo.


Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!