Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

CCM Yamsifu Majaliwa Kwa Uamuzi Wake Wa Kutogombea Ubunge – Video

  • 25
Scroll Down To Discover


Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama kinampongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa uamuzi wake wa kutangaza kutogombea ubunge kwa hiyari yake huku akieleza kuwa amefanya mambo mengi makubwa kwa kipindi chote cha miaka 10 alichotumikia nafasi ya uwaziri mkuu.

Makalla ameyasema hayo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika Ofisi Ndogo za CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.



Prev Post Makalla: Rais Samia Aagiza Uteuzi wa CCM Ufanyike kwa Haki – Video
Next Post Tumia Airtel Money na Ushinde Hisense TV, Samsung A25 na Safari ya Zanzibar
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook