Star wa muziki Africa 🦁 @diamondplatnumz Ametangaza Kolabo Nyingine Na O.B.O @davido 🇳🇬 Ambayo Itatoka Hivi Karibuni.
Diamond Amethibitisha Hilo Wakati Akizungumza Na Mashabiki Zake Jana Kwenye Session Na Dj Wa UK @djagonline Mitaa Ya King Cross Jijini London.
“Nimetoka Kuzungumza Na Davido Jana Tu, Lakini Pia Leo… Unajua Mimi Na Davido Tuna Ngoma Nyingine Ambayo Itatoka Hivi Karibuni, Hivyo Nafuraha Sana … Wakati Nikiendelea Kuifanyia Kazi Album Yangu Mpya Itakayotoka Hivi Karibuni” – Diamond .
Diamond Na Davido Ni Wakali Wa Hitsong ‘My Number One’ Remix Iliyotoka Zaidi Ya Miaka 10 Iliyopita.
The post Kolabo Ya Diamond Na Davido Kutoka Hivi Karibuni. appeared first on Wasafi Media.
Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!