Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Ahutubia Mkutano Wa Hadhara Wilaya Ya Meatu Mkoa Simiyu (Picha +Video)

  • 6
Scroll Down To Discover

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi wa Meatu katika muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani Simiyu tarehe 17 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akihutubia Mkutano wa Hadhara Wilya ya Meatu Mkoa wa Simiyu, leo tarehe 17 Juni, 2025.

Shamrashamra za Wananchi wa Meatu waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika katika viwanja vya Stendi ya mabasi tarehe 17 Juni, 2025.



Prev Post Je, unasumbuka kupata ajira?, tumia njia hii upate ushindi
Next Post Meridianbet Yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Uchangiaji Damu kwa Kuendeleza Mila ya Kimataifa ya Uwajibikaji wa Kijamii (CSR)
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook