Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 16 May 2025

  • 38
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 16 May 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 16 May 2025

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 16 May 2025

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeagiza mchezo wa marudiano wa Fainali ya Kombe la Shirikisho baina ya Simba na RSB Berkane uhamishiwe Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

Kwa mujibu wa barua ya CAF jana iliyosainiwa na Katibu wa Bodi hiyo ya kandanda barani, Mkongo mwenye Uraia wa Uswisi pia, Veron Mosengo-Omba sababu za mabadiliko hayo ni Uwanja wa Benjamin Mkapa ambao upo katika marekebisho wakati huu kutokuwa tayari kwa mchezo huo Mei 25.



Prev Post Tanzania Na Finland Zakubaliana Kuongeza Wigo Wa Ushirikiano
Next Post MAGAZETI ya Leo Alhamisi 15 May 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook