Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 15 May 2025

  • 27
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 15 May 2025

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 15 May 2025

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 15 May 2025

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally amesema Kuwa malengo ya Simba ni kutwaa kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF CC) na wanakwenda kwenye mechi mbili za Fainali dhidi ya RS Berkane wakiwa na kauli mbiu ya TUNABEBA.

May 17 Simba itakuwa Morocco kucheza Fainali ya kwanza itakayopigwa uwanja wa Manispaa ya Berkane na mchezo wa marudiano utapigwa jijini Dar es salaam May 25 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Akizungumza katika mkutano na wanahabari, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali alisema kuwa wanasimba wanapaswa kuwa tayari na kila mmoja afahamu safari hii Simba inabeba kombe la Shirikisho baada ya kulikosa mwaka 1993 ilipocheza fainali wakati huo likiitwa kombe la CAF.



Prev Post MAGAZETI ya Leo Ijumaa 16 May 2025
Next Post Sekta Binafsi yabadilisha sura ya Bandari ya Dar es Salaam
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook