Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Samia Atuma Salamu za Pongezi kwa Papa Mpya

  • 40
Scroll Down To Discover

Rais Samia Suluhu Hassan

Rais Samia Suluhu Hassan jana Mei 8,2025 ametuma salamu za pongezi kwa Papa mpya akimtakia kila laheri.

Katika kusara zake za mitandao ya kijamii aliandika:

Habemus Papam!

Pongezi za dhati kwa Kardinali Robert Francis Prevost, Papa Leo XIV kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani.

Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninakutakia kila la kheri katika utumishi wako kwa Kanisa na Dunia kwa ujumla.

Mwenyezi Mungu akusimamie na kukuongoza.



Prev Post MAGAZETI ya Leo Ijumaa 09 May 2025
Next Post Tanzania Yadhamiria Kuendelea Mageuzi ya Kidigitali Katika Elimu-Dkt. Biteko
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook