Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Waziri Kombo: Hakuna Sheria Iliyovunjwa Katika Utendaji wa Serikali

  • 39
Scroll Down To Discover

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo

Serikali imeweka wazi msimamo wake kuhusu hali ya kisiasa nchini, ikisisitiza kuwa hakuna sheria yoyote iliyovunjwa katika utekelezaji wa majukumu yake kama taifa huru linalozingatia utawala wa sheria.

Akizungumza na wahariri jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa serikali imekuwa wazi kuhusu masuala yote yanayohusu mwenendo wa kisiasa nchini.



Prev Post Kesi ya Tundu Lissu: EU Yatoa Wito wa Uangalizi wa Kimataifa
Next Post Live Updates: Uchaguzi wa Papa Mpya Waingia Siku ya Pili Baada ya Kura ya Kwanza Kushindikana
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook