Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Polisi Watoa Tamko Kushambuliwa Kwa Katibu wa TEC Padri Kitima, Mmoja Akamatwa

  • 21
Scroll Down To Discover

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro.

Jeshi la Polisi limetoa taarifa kushambuliwa na kwa Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima na watu wasiofahamika, akiwa kwenye makazi yake, zilipo Ofisi za baraza hilo Kurasini Jijini Dar Es salaam majira ya saa tatu na nusu usiku wa Aprili 30, 2025.



Prev Post MAGAZETI ya Leo Alhamisi 01 May 2025
Next Post Padri Dkt. Charles Kitima Adaiwa Kushambuliwa Nyumbani Kwake
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook