Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete Atunuku Shahada kwa Wahitimu wa Mahafali ya 55 ya Chuo Kikuu cha Dar

  • 74
Scroll Down To Discover

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ametunuku Shahada za Awali na Stashahada kwa wahitimu katika Mahafali ya 55 (Duru la tatu) ya chuo hicho kikongwe.

Jumla ya wahitimu 2,452 walihudhurishwa kwenye mahafali hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Kati ya wahitimu hao, wanawake ni 1,386 sawa na asilimia 56.6 huku wanaume wakiwa 1,066



Prev Post Rais Samia Aitaka Tume Kuchunguza Kauli za Makundi Wakati wa Vurugu Nov. 29 – Video
Next Post Wasaidizi 9 wa Familia ya Bongo Wahukumiwa Kwa Ufujaji wa Fedha za Umma
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook