Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mwanachuo Auawa kwa Kuchomwa Visu na Ex-Wake, Mama Yake Afunguka – Video

  • 24
Scroll Down To Discover

Mama wa Elizabeth Maguha

Mwanachuo wa mwaka wa pili katika Chuo cha Ustawi wa Jamii, Elizabeth Maguha ameuawa kwa kuchomwa visu na mtu anayedaiwa kuwa mpenzi wake wa zamani (ex), chanzo cha tukio kikitajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

Global TV imefika mpaka nyumbani kwa binti huyo na kuzungumza na mama wa marehemu.

Tukio hilo limetokea Yombo Dovya, Kata ya Makangarawe, Temeke, jijini Dar es Salaam.



Prev Post MAGAZETI ya Leo Ijumaa 25 April 2025
Next Post Waziri Mkuu Kufanya Ziara Ya Siku Moja Nansio-Ukerewe Mkoani Mwanza
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook