Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Yapi matarajio ya bunge la 13 nchini Tanzania? Katika Dira ya Dunia TV

  • 10
Scroll Down To Discover

Wabunge wa Bunge la Tanzania leo wamemaliza rasmi viapo vyao, hatua inayowafanya kuwa wabunge kamili na kuhitimisha kipindi cha kuwa wateule. Zoezi hilo lilianza jana na kukamilika leo katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma. Baadhi ya wadau hata hivyo wanadai Bunge hili la 13 linaweza kukosa upinzani imara kutokana na idadi kubwa ya wabunge kutoka chama tawala CCM. Tumezungumza na baadhi ya wabunge walioapishwa kuhusu matarajio yao. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 13, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook