Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Video: Mussa Zungu Achaguliwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano

  • 4
Scroll Down To Discover


Mbunge wa Jimbo la Ilala, (CCM) Mhe. Mussa Azzan Zungu, amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 378 kati ya kura 383 zilizopigwa.

Uchaguzi huo umefanyika leo, Novemba 11, 2025, katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma, ambapo Zungu amewashinda wagombea wengine watano waliokuwa wakipeperusha bendera za vyama vya NRA, DP, ADC, NLD, na AAFP.

Zungu atakuwa kiongozi wa Mhimili huo katika Bunge la 13 ambalo limeanza rasmi leo.

Ikumbukwe kuwa, Zungu amekuwa Naibu Spika wa Bunge hilo kuanzia mwaka 2022 na sasa anarithi mikoba ya aliyekuwa Spika wake, Dkt. Tulia Ackson ambaye alijiondoa kwenye kinyang’anyiro



 



Prev Post Heche azungumzia kwa mara ya kwanza kuachiwa kwao na Jeshi la Polisi – Video
Next Post Watanzania Waonesha Uwezo Katika Kampuni za Ubia
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook