Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumapili 20 April 2025

  • 23
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumapili 20 April 2025

Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids, amezungumza kwa tahadhari kubwa kuelekea mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini, Aprili 20, 2025, akieleza kuwa wapinzani wao ni timu iliyo bora kiufundi, kimfumo na kiuchumi.

Davids amewasifu Stellenbosch kama klabu iliyopangika vizuri kuanzia juu hadi chini na inayojulikana kwa kuibua vipaji chipukizi licha ya kuuza wachezaji wao bora mara kwa mara.

“Ni klabu yenye nidhamu ya hali ya juu, wanauza wachezaji bora lakini bado wanaendelea kusajili vipaji vijana. Ni timu hatari ambayo hatuwezi kuichukulia poa hata kidogo,” amesema Fadlu.

Kocha huyo amesema kila timu iliyofika hatua ya nusu fainali inastahili kuheshimiwa, na hivyo Simba inajiandaa kwa umakini mkubwa kuhakikisha wanafuzu kwenda fainali.



Prev Post Naibu Spika Zungu na Profesa Janabi Wapokea Msaada wa Vifaa Vyenye Thamani ya Zaidi ya TSh Bilioni 2.55
Next Post Waziri Gwajima Akerwa na Udhalilishaji wa Mabinti Chuoni, Achukua Hatua
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook