Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Yaliyojiri mahakamani kesi ya uhaini ya Tundu Lissu. Katika Dira ya Dunia TV

  • 95
Scroll Down To Discover

Mwenyekiti wa chama cha upinzani CHADEMA Tundu Lissu ameshinda pingamizi aliloliweka kupinga upande wa mashtaka kuwasilisha ripoti ya Uchunguzi wa picha mjongeo (Video Clip) kama kielelezo cha Ushahidi. Lisu aliweka pingamizi dhidi ya Riport hiyo isipelekwe mahakamani akidai shahidi huyo hana mamlaka yakisheria kwani sio mtaalam wa uhalifu wa kimtandao. #tundulissu #tanzania #bbcswahili #bbcswahilileo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post BAADA YA KUSEPA TZ….SENZO AFUNGUKA A-Z KUHUSU SOKA LA BONGO….ATAJA WASAUZI WA SIMBA…
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 24, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook