Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 10 April 2025

  • 7
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Alhamisi 10 April 2025

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa bomba la mafuta kutoka Uhima nchini Uganda mpaka Tanga nchini Tanzania umefikia asilimia 55.

“Serikali tayari imeshachangia mtaji wa Dola376 milioni sawa na asilimia 15 ya hisa kupitia mradi huo jumla ya ajira 6,610 zimeshaanza kuzalishwa ,” amesema Majaliwa.

Majaliwa ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma Jumatano, Aprili 9, 2025, wakati akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka 2025-2026.



Prev Post Bolt Yazindua Rasmi Huduma Zake Katika Mji wa Kahama
Next Post Pacome Zouzoua Ashikiki Yanga SC, Akivuna Tuzo Sita Za Mchezaji Bora Wa Mwezi Na Kuweka Rekodi Ya Mabao Nane Na Asisti Tisa
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook