

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo, Aprili 8, 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge, kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma.
Ushiriki wa Waziri Mkuu unadhihirisha mwendelezo wa usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za serikali bungeni, huku kikao hicho kikitarajiwa kujadili masuala mbalimbali muhimu ya kitaifa.

Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!