Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Waziri Mkuu na Naibu Wake Washiriki Kikao cha Kwanza Bunge la Bajeti leo – Picha

  • 12
Scroll Down To Discover

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Aprili 8, 2025 ameshiriki Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge Bunge jijini Dodoma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo, Aprili 8, 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tisa wa Bunge, kilichofanyika Bungeni jijini Dodoma.

Ushiriki wa Waziri Mkuu unadhihirisha mwendelezo wa usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za serikali bungeni, huku kikao hicho kikitarajiwa kujadili masuala mbalimbali muhimu ya kitaifa. 

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Wabunge mbalimbali mara baada ya kuahirishwa mkutano wa kumi na tisa wa Bunge, Kikao cha kwanza April 8, 2025 Jijini Dodoma.



Prev Post Rais Samia Atembelea Makumbusho Ya Hayati Neto Nchini Angola
Next Post MAGAZETI ya Leo Jumatano 09 April 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook