Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumatano 09 April 2025

  • 34
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumatano 09 April 2025

Kiungo wa Klabu ya Yanga, Khalid Aucho atakuwa nje ya uwanja kwa takriban wiki tatu baada ya kupata Majeraha kwenye nyama za paja.

Kiungo huyo amefanyiwa vipimo Leo ambapo imegundulika atakuwa nje kwa wiki tatu, kwa mujibu wa taarifa ambayo iliyotolewa na Klabu ya Yanga.

Aucho aliumia kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union ambapo nafasi yake ilichukuliwa na Mudathir Yahya.



Prev Post Waziri Mkuu na Naibu Wake Washiriki Kikao cha Kwanza Bunge la Bajeti leo – Picha
Next Post Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Kiziwi Wilaya ya Kwimba, Mwanza
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook