Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Kevin Mbogo Afariki Dunia Baada ya Ajali ya Gari Jijini Dar

  • 147
Scroll Down To Discover

Aliyekuwa mmiliki wa Home Grand Hotels, TCCIA Region Treasurer, na mfadhili wa CCM Wazazi, Kevin Mbogo, amefariki dunia kwa ajali ya gari usiku leo Oktoba 4, 2025 katika eneo la Sayansi, jijini Dar es Salaam.

Marehemu aliwahi pia kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Katavi kati ya mwaka 2012 hadi 2017, akiwa na mchango mkubwa katika siasa za vijana na jamii kwa ujumla.

“Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi.”

VIJANA ZAIDI 100 WAIPA KAMPUNI ya ULINZI SIKU 7 – UDANGANYIFU WATAJWA – BOSI wa KAMPUNI AKIRI….



Prev Post Diddy Ahukumiwa Miaka 4 Jela kwa Kesi ya Usafirishaji wa Wanawake
Next Post Vigogo CHADEMA Waburuzwa Mahakamani, Wamo John Heche na Mnyika
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook