Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 07 April 2025

  • 12
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 07 April 2025

Klabu ya Al Masry imeomba sapoti ya Yanga kuelekea mchezo wake wa mkondo wa pili wa robo fainali Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya Simba.

Timu hizo zitakutana Jumatano hii ya Aprili 09,2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam Kuanzia saa 10:00 Jioni.

Al Masry imetumia ukurasa wake wa Instagram kuitaja Yanga ikiandika: Tunayo furaha kukutana tena na mashabiki wa Young Africans.

Ikumbukwe kuwa, Al Masry ilishinda mabao 2-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Jumatano ya Aprili 02,2025 nchini Misri.



Prev Post Harmonize amchana El Mando
Next Post Waziri Mkuu Awataka Mabalozi Kuishi Falsafa Za Rais Dkt. Samia
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook