Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Palestina yasema iko tayari kwa amani, Israel ikiendeleza mashambulizi Gaza, katika Dira ya Dunia TV

  • 1
Scroll Down To Discover

Rais wa mamlaka ya Palestina, Mahmoud Abbas, amehutubia Umoja wa Mataifa leo kwa njia ya video – baada ya utawala wa Rais Donald Trump kumkatalia visa ya kuingia Marekani. Abbas amesisitiza kuwa yuko tayari kushirikiana na Marekani na mataifa mengine kutekeleza mpango wa amani – lakini ameishutumu serikali ya Israel kwa kutekeleza uhalifu wa kivita. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post MRITHI WA FADLU SIMBA HUYU HAPA….KOCHA WA MAN UNITED ATAJWA….
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook