Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Mwakilishi Wa Mfanyabiashara Amlipua Mjane Alice “Nyumba Iliuzwa 2011 Aliridhia Kwa Dole Gumba”- Video

  • 2
Scroll Down To Discover

Hajra Mungula, mwakilishi wa mfanyabiashara aliyeingia kwenye mgogoro na Alice Haule, mke wa Justice Rugaibula kuhusu nyumba iliyopo Mikocheni, iliyosababisha taharuki hapo jana, amefunguka kuhusu kinachoendelea upande wa pili.

Akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Mungula amesema nyumba hiyo iliuzwa na marehemu Rugaibula mwaka 2011 na kwamba nyaraka zilizopo, zinaonesha kuwa mkewe (Alice) aliridhia na kuweka alama ya dole gumba kwenye nyaraka.

Chalamila na timu yake wamefika Mikocheni jijini Dar es Salaam, kufuatia taharuki iliyozuka hapo jana, Septemba 24, 2025 ikimhusu mjane Alice Haule aliyevamiwa na kutaka kutolewa kimabavu kwenye nyumba aliyoachiwa na marehemu mumewe, Justice Rugaibula.

Chalamila ametoa nafasi kwa pande zote mbili zinazovutana, kuelezea kilichotokea ambapo mengi mapya yanaendelea kuibuka.



Prev Post Dkt. Samia Ahidi Mradi wa Umeme na Barabara Kuboresha Maisha ya Wananchi Masasi
Next Post Mahakama Kuu Kusikiliza Kesi ya Mpina dhidi ya Tume ya Uchaguzi Septemba 29
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook