Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Watanzania wa kwanza kuanza kulipwa Facebook wafunguka rasmi

  • 6
Scroll Down To Discover

watengeneza Maudhui maarufu nchini kwa jina la @TIT_4TAT wakiwa katika Studio zetu za Bongo5 wamefunguka mengi juu ya maisha yao kama Content Creators changamoto wanazopitia pia wamefunguka juu ya kiasi cha fedha wanachoingiza kwa mwezi.

Wametuma ujumbe wao kwa @ommydimpoz kwamba wanaomba wakumbukwe nao kwenye Tuzo za Comedy kama zilizotoka hivi karibuni kwa msimu ujao.

Pia wametoa ushauri kwa wasanii kupata Elimu ili kuendana na soko la sasa la Sanaa.

Kuangalia Video kamili tembelea ukurasa wetu wa YouTube Bongo5

 

 

Imeandikwa na kuandaliwa @Johnbosco_mbanga & @Abbrah 255



Prev Post RECAP: S2kizzy anabebwa na Diamond & Rayvanny – El Mando
Next Post RECAP: Kuna Mashabiki wa Muziki hawapendi Live – El Mando
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook