Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumanne 01 April 2025

  • 9
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumanne 01 April 2025

Klabu ya Simba imempongeza Rais wa heshema, Mohammed Dewji ambaye pia ni Mwekezaji wa klabu kwa kutajwa na jarida la Forbes kuwa tajiri wa 12 barani Afrika

Simba imempongeza Mo Dewji baada ya utajiri wake kupanda kutoka USD 1.8 Bilioni hadi USD 2.2 Bilioni

Jarida la Forbes hufanya utafiti kila mwaka na hutoa orodha ya Wafanyabiashara wenye ‘ukwasi’ na thamani ya utajiri wao.

Mo ameendelea kutajwa na jarida hilo kila mwaka sasa akiingia katika orodha ya matajiri 15 wenye ukwasi mkubwa zaidi barani Afrika.



Prev Post MAGAZETI ya Leo Jumatano 02 April 2025
Next Post MAGAZETI ya Leo Jumatatu 31 Machi 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook