Search
Sign In
2Your Cart
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 31 Machi 2025

  • 11
Scroll Down To Discover

MAGAZETI ya Leo Jumatatu 31 Machi 2025

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limetangaza kuandama kwa mwezi Jumapili Machi 30, 2025 hivyo swala ya Idd El Fitri itafanyika kesho Machi 31, 2025.

Taarifa iliyotolewa na Bakwata katika mitandao ya kijamii Machi 31, 2025 imeeleza: “Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir leo ameutangazia umma wa Kiislam Tanzania kwamba leo siku ya Jumapili mwezi umeandama na umeonekana maeneo mbalimbali nchini. hivyo kesho siku ya Jumatatu ni sikukuu ya Idd.”



Prev Post MAGAZETI ya Leo Jumanne 01 April 2025
Next Post MAGAZETI ya Leo Jumapili 30 Machi 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook