Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

M23 wasema hawatafika Doha, Qatar kwa mazungumzo ya amani ya DRC, katika Dira ya Dunia TV

  • 118
Scroll Down To Discover

Waasi wa M23 katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, wamesema hawatarudi katika mazungumzo ya amani huko Doha, Qatar, hadi pale serikali ya DRC itakapoheshimu kikamilifu misingi ya kumaliza vita. Msemaji wa kundi hilo, Lawrence Kanyuka, ameiambia BBC hii leo kwamba wawakilishi wa kundi hilo hawako Doha ambako mazungumzo yamepangwa kufanyika. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post NAFASI 6 Za Financial Advisors Wealth Capital Fund Limited
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 19, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook